Tangaza biashara kwa Sh. 5,000 - Hapa ElimikaLeo
ElimikaLeo tumeanzisha program maalum iitwayo "Biashara Online" ambayo imelenga kuzipromote biashara zote.
Huenda Biashara yako au yenu ikawa kwenye hili kundi.
biashara hizi zitawekwa kwenye Tovuti yetu kwenye hii makala, na pia kwenye ukurasa wa mbele wa Tovuti (Front Page) ambapo watu wengi hutazama kila siku wanapoingia kusoma ElimikaLeo.
FAIDA UTAKAZOPATA
1. Biashara yako itajulikana kwa watu wengi, na utapata wateja wengi
2. Biashara yako itakuwa kitaalumu.
3. Biashara yako itapatikana kwenye internet (Google) pale ambapo watu watakuwa wakijaribu kuitafuta ili wapate taarifa zake
Tangaza biashara Yako Hapa kwa kufuata maelekezo hayo chini.
Jaza taarifa za biashara yako hapa chini na utume moja kwa moja kupitia WhatsApp bei shilingi 5,000 kwa mwezi Tangazo lako litatokea juu ya front page ambayo watu wengi huanza kuiona.Ukisha lipia tangazo ndipo utakapolipia na kutuma ujumbe wa malipo.
Kumbuka:kutuma ujumbe wa malipo kupitia namba hizi
M-pesa 0768569349
Halo-Pesa 0617430882
JINA:MEINRAD NGWENYA
0 Comments: