Saturday, July 25, 2026

Jinsi ya Kujisajili kama Private Candidate NECTA Form Six 2027/2028

 Fahamu Jinsi Ya Kujisajili Kama Private Candidate Kufanya Mtihani Wa Necta Form Six

Watu wote wanaotarajia kufanya Mtihaniwa Kidato cha Sita (ACSEE) kama Watahiniwa wa Kujitegemea;

1. Kipindi cha usajili kwa Watahiniwa wa Kujitegemea huanza mwezi wa 7 na huisha mwezi wa 9. Ada ya usajili ni Shilingi 50,000/=, watakaojisajili kwa kuchelewa yaanikuanzia tarehe mwezi wa 10 watalipa Shilingi 65,000/= ikiwa ni ada yakawaida pamoja na faini.

2. Kabla ya kusajiliwa na Mkuu wa Kituo kwenye mtandao, waombaji wanapaswa kwenda kwenye Vituo vya Mitihani kuchukua namba rejea (reference numbers) zinazotolewabure na kufanya malipo ya ada kupitia Benki kwa kutumia ‘Control Number’.

3. Ufafanuzi kuhusu utaratibu wa hatua za kufuata katika kutengeneza ‘Control Number’na kujisajili, umetolewa katika tovuti ya Baraza la Mitihani la Tanzania: https://www.necta.go.tz/news/read/73


4. Waombaji wote wasisitizwa kuhakikisha wanajisajili mapema kwani mfumo wa usajiliutafungwa mara baada ya kipindi cha usajili kukamilika.
WALIOCHAGULIWA NA KUPANGIWA KUFUNDISHA SOMO LA ELIMU YA BIASHARA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI 2026 - TAMISEMI

 


Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza Majina ya Walimu wa kujitoleakufundisha Somo la Elimu ya Biashara katika shule za sekondari waliokidhi vigezo,kuchaguliwa na kupangiwa shule za kufundisha kwa Mkataba. Walimu wotewaliopangiwa shule za kufundisha wanatakiwa kufika katika Halmashauri husikakukamilisha taratibu za kuanza kazi kuanzia tarehe 24/07/2026 hadi tarehe06/08/2026. Baada ya muda huo kupita, nafasi iliyo wazi itajazwa na mhitajimwingine.Majina ya Walimu wa kujitolea waliochaguliwa na kupangiwa shule za Sekondari zakufundisha somo la Elimu ya Biashara yanapatikana kupitia kiunganishi,ajira.tamisemi.go.tz na pia kupitia tovuti www.tamisemi.go.tz.

ORODHA YA WALIMU WA MKATABA WALIOCHAGULIWA NA KUPANGIWA KUFUNDISHA SOMO LA ELIMU YA BIASHARA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI



Monday, July 20, 2026