JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAAHALMASHAURI YA MANISPAA YA TEMEKE
MTIHANI WA UTAMILIFU KWA DARASA LA VII
SOMO : SAYANSI NA TEKNOLOJIA
MUDA SAA 1:30 MWAKA 2025
MAELEKEZO
1: Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali 8,
2: Jibu maswali yote
3: Majibu yote yaandikwe kwenye nafasi ulizopewa katika karatasi ya maswali
4: Majibu yote yaandikwe kwa kutumia Kalamu ya wino wa bluu au nyeusi
5: Onesha wazi njia itakayotumika katika kukokotoa swali pale itakapolazimika
6: Simu za mkononi haziruhusiwi katika chumba cha mtihani
7: Andika namba yako ya mtihani sehemu ya juu upande wa kulia kwenye kila kurasa
KWA MATUMIZI YA MTAHINI TU | ||
NAMBA YA SWALI | ALAMA | SAHIHI YA MTAHINI |
1 | ||
2 | ||
3 | ||
4 | ||
5 | ||
6 | ||
7 | ||
8 | ||
JUMLA | ||
SEHEMU A: ( ALAMA 10)
1. Chagua herufi ya jibu sahihi kwa kuandika jibu kwenye mabano
i) Damu imeundwa na chembechembe mbalimbali . Je ni chembechembe hai zipi husaidia mwili kupambana na maradhi? ( )
A. Chembe hai nyekundu, B. Seli hai nyeupe, C. Chembe sahani, D. Plazma, E. Seli za damu
ii) Chembe uzi ya kike X ikiungana na chembe uzi ya kiume Y, atapatikana mtoto wa jinsia gani? ( ) A. mapacha B.Mapacha wanaofanana C. Mapacha wasiofanana D. Mtoto wa kiume E.Mtoto wa kike
iii) Tafuta manufaa ya kimakanika ikiwa jitihada ya 30N ilitumika kunyanyua mzigo wa 20N.
A. 2 B. 4 C.3, D. 6 , E. 10. ( )
(iv)Ni ugonjwa upi kati ya magonjwa yafuatayo huathiri zaidi wanaume?
A. Anemia Selinundu, B. Hemofilia, C. Uzeruzeru, ( )
D. HIV/AIDS E. Pepopunda.
(v) Kipindi ambacho mwanamke anakosa hedhi kutokana na umri kinaitwa:-
( )
A.Kubalehe, B. Kukoma hedhi, C. utasa, D. Kujitambua, E. Ukeketaji.
( v) Chunguza kielelezo kifuatacho kisha jibu swali;
(vi) Mchoro hapo juu ni nyenzo daraja la ngapi?
( )
A. Nyenzo daraja la kwanza, B. Nyenzo daraja la pili. C. Nyenzo daraja la tatu,
D. Nyenzo daraja la nne, E. Nyenzo daraja la tano,
(Vii)Mionzi ya jua hufika katika uso wa dunia kwa njia ya :
A. Mpitisho B. Mnuururisho C. Kuvukiza D. Msafara E. Difyusheni ( )
Viii) Ipi kati ya zifuatazo huonesha muunganiko sahihi kati ya oksijeni na haidrojeni?
A.HcL, B. H2 C. H2O, D. Co2 E. OH. ( )
(ix) Kokotoa รผkinzani katika jiko la umeme ikiwa mkondo wa umeme ni 6A, na tofauti ya potenshali ni 120V.
A. 4 ohms B. 3 ohms C. 20hms D. 0.2 ohms E.200hm ( )
(x)Kuna aina nyingi za udongo. Udongo unaofaa zaidi kwa kilimo ni
A. Udongo wa kichanga, B. Udongo tifutifu, C. Udongo wa Mfinyanzi,
D. Mbolea, E. Udongo wa kichanga na mfinyanzi ( )
2. Oanisha dhana za kisanyasi kutoka orodha A na maana zake kutoka orodha B. kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika nafasi ya jibu iliyotengwa
Na | Orodha A | Orodha B | |
i | Alama ya umeme inayowakilisha umeme wenye mkondo mkubwa | ||
ii | Mimea hufyonza maji kupitia mizizi kwa njia ya | A.Osmosis B.Transpiration C.Uchavushaji D. Difyusheni E. Fotosinthesis. | |
iii | Mkusanyiko wa mkeka kazi mmoja au zaidi huitwa | A. Data B. Kitabu kazi C. Programu D. Torakishi E. Seli | |
iv | Daraja la moto linalosababishwa na kuungua kwa gesi zinazowaka kama vile butani, propani, methani na asetilin | A. Daraja A, B. Daraja B, C. Daraja C, D. Daraja F | |
v | Hewa ni mkusanyiko wa gesi mbalimbali. Je, gesi inayowezesha vitu kuwaka ni | A. Oksijeni B. Kabonidayoksaidi. C. Nitrojeni D. Argoni E. Haidrojeni. |
3. Kamilisha sentensi kwa kuandika jibu sahihi kutokana na maelezo ya swali yaliyotolewa
(i) Jotoridi la mwili wa ndege ni 40°C. Badili jotoridi hilo kuwa Fahareinheit (0F).....................
(ii) Umeng'enyaji wa chakula huanzia mdomoni hadi kwenye utumbo mwembamba, Chakula
ambacho humengenywa mdomoni (kinywani) ni ..........................................................................
(iii) Njia ya asili mawasiliano iliyotumika na watu mbalimbali ni................................................
(vi) Fuatilia mlishano ufuatao
SIMBA SWALA MAJANI. Nini kitatokea endapo Simba atatoweka?
(v) Moja kati ya tabia za viumbe hai ni kutoa Uchafu. Taja viungo ambavyo vinahusika na utoaji wa taka mwili : .............................................................................................................
SEHEMU B: ( Alama 20 )
4. Jaza nafasi, zilizoachwa wazi katika swali la 4-6. kwa kueleza kwa ufupi
4)i) Wanafunzi wa darasa la tano walichuma jani la mmea (kijani) na kulitia katika kimiminiko fulani, Matokeo yake jani lilibadilika rangi kuwa nyeusi . Kimiminika kilichotumika ni
.......................................................................................................................................................
ii) Jiwe lina uzito wa 100N likiwa hewani ikiwa kanielezi ndani ya kimiminika ni 20N.Tafuta uzito wa jiwe likiwa ndani ya kimiminika ....................................................................................
5 i) Mwalimu Anna alitumia kifaa fulani kuingiza alama za somo la hisabati katika tarakilishi .
Taja jina la kifaa alichotumia kuingizia alama ..............................................................................
(ii) Mwajuma amejifungua mtoto leo, Chakula cha asili cha mtoto wake mchanga ni
........................................................................................................................................................ 5iii) Bahati alifunika mshumaa kwa hutumia glasi Baada ya muda mshumaa ukazimika. Nini
kilisababisha mshumaa kuzimika?....................................................................................................
6i)Hewa ni mchanganyiko wa gesi mbalimbali kama vile oksijeni kabonidayosaidi na nitrogeni .
Je kabonidayoksaidi inachukua asilimia ngapi ya gesi zote ?............................................................
ii) Chunguza mchoro ufuatao kisha tambua herufi inayowakilisha kuyeyuka kwa maada:
........................................................................
iii) ASIDI + BASI = CHUMVI + MAJI . Je, mpambano huu wa kikemikali huitwa........................
SEHEMU C ( Alama 10)
Chunguza picha, michoro na kokotoa kwa huonesha njia kujibu maswali yafuatayo:
7.(i)Densiti ya kitu ni kg 80m³ Ikiwa tungamo la kitu ni kg 240, Tafuta ujazo. wa kitu hicho.
(ii) Kwa nini baiskeli ni mashine tata?
iii) Ikiwa gesi ya haidrojeni itaungana na gesi ya okisijeni nini kitatokea?
8 i) kani inayosababishavitu kuelea huitwa............................................................................
(ii) Kifaa ambacho hunasa na kusambaza mawimbi Sumaku umeme katika vifaa kama redio,
simu na runinga huitwa ..............................................................................................................
Imeandaliwa na:
Nampunguprimary2@gmail.com
0 Comments: