๐Ÿ“ข Advertise With Us – MSOMIHURUTZ BLOG

MSOMIHURUTZ BLOG inakaribisha wadau wa Elimu, Afya, Teknolojia,Stationary kutangaza bidhaa au huduma zao kupitia blog yetu. Tunafikia wanafunzi, walimu, wazazi, na jamii pana ya wapenda elimu kupitia maudhui yenye ubora na yanayoaminika.

Tunatoa nafasi tofauti za matangazo kulingana na mahitaji ya mteja kwa gharama nafuu.

๐Ÿ’ฐ Aina za Matangazo na Bei

๐Ÿ”น Banner Advertisement
Header / Sidebar / Footer
Muda: Siku 30
Bei: TZS 10,000

๐Ÿ”น Sponsored Post (Makala ya Kulipiwa)
Makala kamili kuhusu huduma au bidhaa yako
Inaonekana kama post ya kawaida
Muda: Permanent
Bei: TZS 25,000

๐Ÿ”น Text Link Advertisement
Link ya maandishi ndani ya makala
Tutakuwekea link ya maandishi ndani ya makala inayohusiana na huduma yako kwa siku 30, ambapo wasomaji wakibonyeza watafika moja kwa moja kwenye website yako.”
Bei: TZS 10,000

๐Ÿ”น Social Media Promotion
Kutangazwa kupitia majukwaa yetu ya kijamii
(WhatsApp / Telegram / Facebook)
Muda: Mara 1–3
Bei: TZS 5,000


✅ Faida za Kutangaza Nasi
1.Walengwa wa moja kwa moja (wanafunzi & walimu)
2.Bei nafuu
3.Maudhui ya kuaminika
4.Matangazo salama kwa mazingira ya elimu

๐Ÿ“ž Mawasiliano
Kwa maelezo zaidi, nafasi za matangazo, au makubaliano maalum, tafadhali wasiliana nasi kupitia ukurasa wa Contact Us au barua pepe iliyopo kwenye blog.

0 Comments: