MPANGO KAZI WA UWAWA KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI MBALIMBALI
JINA LA SHULE: NAMPUNGU KATA:… NAMPUNGU MWAKA:2025
Suala lililotambuliwa | Shughuli zitakazofanyika | Mhusika | Rasilimali zitakazotumika | Chanzo cha Fedha | Muda wa utekelezaji | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
Jan | Feb | Mach | April | Mei | Jun | Jul | Agos | Sept | Okt | Nov | Dis | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
KUHIMIZA UPATIKANAJI WA CHAKULA SHULENI | -kuhamasisha jamii kuchangia chakula shuleni. | -Waje -Uwawa -K/shule | -Muda -Fedha -Unga -Chumvi | -Wazazi wenye Watoto shuleni -Wadau | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
-Kuhamasisha jamii kuanzisha shamba la chakula au mboga ili kupunguza uchnagiaji -Kuandaa bustani za mbogamboga na matunda | -Waje -Uwawa -K/shule -M/kiti – Kijiji -Mh Diwani | -Muda -Fedha -Ardhi -Jembe -Mbegu -Mbolea -Shoka | -Wazazi, wadau, viongozi wa vijiji na Mh. Diwani | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA SHULENI | -Kuanzisha klabu za kupinga ukatili wa kijinsia shuleni | -Waje -Uwawa -Wanafunzi | -Muda -Stationari | -Uwawa -Waje -Kamati ya shule | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA SHULENI | -Kuanzisha nakuimarisha mifumo ya utoaji na upokeaji wa taarifa za ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi ikiwa ni pamoja na kuanzisha sanduku la maoni | -Waje -Uwawa -Wanafunzi -Jamii -Afisa maendeleo ya jamii | - Muda -Fedha -Mbao | -Waje -Uwawa -K/shule | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
KUHAMASISHA USOMAJI NA UJIFUNZAJI KWA WANAFUNZI NJE YA SHULE | -Kuhamasisha jamii kupitia mikutano ya wazazi ,Waje,Uwawa,kulenga maeneo salama na jumuishi ya kujifunza nje shule | -WAJE -UWAWA -AEK | -MUDA -JENGO -BENCHI/VITI -MIKEKA | -WAZAZI -WADAU WA ELIMU | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
-Kuhamasisha wazazi na wanafunzi kuazimz vitabu ili kujisomea wakiwa nyumbani | -WAJE -UWAWA -AEK | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
-Kuanzisha miradi ya kuwezesha upatikanaji wa fedha ya kuendeshea vituo salama nje ya shule | -WAJE -UWAWA -AEK - | -MUDA -ARDHI -JEMBE -FYEKEO -MBOLEA -MBEGU | -WAJE -WAZAZI -UWAWA -WADAU WA MAENDELEO YA ELIMU | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
KUBORESHA MIUNDOMBINU YA SHULE | -Kuhamasisha jamii/wazazi juu ya umuhimu wa kuboresha miundombinu ya shule kama vile madarasa,matundu ya vyoo na nyumba za mwalimu | -WAJE -UWAWA -AEK -K/Shule -Jamii | -MUDA -FEDHA -SULULU -JEMBE -CHEPE/SPEDI | -WAZAZI -WADAU WA ELIMU -K/SHULE | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
KUHAMASISHA UANDIKISHAJI, MAUDHULIO NA KUHITIMU | Kuhamasisha wazazi /walezi kuwarudisha shule watoto walioacha shule kwasababu mbalimbali -kuhimiz mahudhurio ya wanafunzi shuleni pamoja na kufatilia watoro -Kushiriki kufanya maoteo. -kuhamasisha wazazi /walezi katika uandikishaji wa watoto wa darasa la awali na la kwanza | -WEJE -UWAWA -AEK -K/SHULE JAMII | -DAFTARI LA MAHUDHURIO -TAKWIMU YA WATORO SHULENI - DAFTARI LA UANDIKISHAJI LA WANAFUNZI | -WAZAZI -WADAU WA ELIMU K/SHULE WEJE | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
Imeandaliwa na:
Nampunguprimary2@gmail.com
0 Comments: