๐๐ปUsumbufu wa hedhi
๐๐ปKuumwa kichwa mara mara
๐๐ปKizunguzungu
๐๐ปKichefuchefu
๐๐ปKuongezeka uzito usiokuwa na faida
๐๐ปKupunguza hamu ya tendo la ndoa
๐๐ปKusababisha Uvimbe kwenye kizazi (fibroids)
๐ด *MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA*
๐๐ปHuathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha uvimbe
๐๐ปKuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
๐๐ปKuumwa kichwa mara mara
๐๐ปKupata kichefuchefu
๐๐ปKutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
๐๐ปKubadilisha mwenendo wa damu
๐๐ปKuliathiri ini kidogo kidogo
๐๐ปKupata kisukari
๐๐ปKupata ugonjwa wa moyo
๐๐ปKupooza upande mmoja wa mwili.
๐๐ปKupunguza hamu ya tendo la ndoa
*๐ดMADHARA YA KIJITI(KIPANDIKIZI)*
๐๐ปHusababisha saratani za aina mbali mbali
๐Kuchanganyikiwa kiakili
๐๐ปShinikizo la damu
๐๐ปMaumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
๐๐ปKusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
๐๐ปKupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa
*๐ดMADHARA YA KITANZI*
๐๐ปUtokaji ovyo wa damu
๐๐ปKutoboka fuko la uzazi
๐๐ปKuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
๐๐ปKitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
๐๐ปKuondoa hamu tendo la ndoa.
0 Comments: