Saturday, July 25, 2026

WALIOCHAGULIWA NA KUPANGIWA KUFUNDISHA SOMO LA ELIMU YA BIASHARA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI 2026 - TAMISEMI

 


Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza Majina ya Walimu wa kujitoleakufundisha Somo la Elimu ya Biashara katika shule za sekondari waliokidhi vigezo,kuchaguliwa na kupangiwa shule za kufundisha kwa Mkataba. Walimu wotewaliopangiwa shule za kufundisha wanatakiwa kufika katika Halmashauri husikakukamilisha taratibu za kuanza kazi kuanzia tarehe 24/07/2026 hadi tarehe06/08/2026. Baada ya muda huo kupita, nafasi iliyo wazi itajazwa na mhitajimwingine.Majina ya Walimu wa kujitolea waliochaguliwa na kupangiwa shule za Sekondari zakufundisha somo la Elimu ya Biashara yanapatikana kupitia kiunganishi,ajira.tamisemi.go.tz na pia kupitia tovuti www.tamisemi.go.tz.

ORODHA YA WALIMU WA MKATABA WALIOCHAGULIWA NA KUPANGIWA KUFUNDISHA SOMO LA ELIMU YA BIASHARA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI



Testme ni mwalimu wa shule ya Awali na Msingi na mwandishi wa maudhui ya elimu nchini Tanzania. Kupitia blog ya MsomiHuru Na Mitihani Tz, anashiriki mitihani, vitabu, andalio la somo, na nyenzo mbalimbali za kujifunzia kwa wanafunzi na walimu.

0 Comments: